Facebook

Sunday, 1 March 2015

Majeruhi yazidi kumuandama Jack Wilshare,afanyiwa upasuaji tena.

"MAJERUHI YAZIDI KUMUANDAMA WILSHERE, AFANYIWA UPASUAJI.

Kiungo wa klabu ya Arsenal "The Gunners" Jackei Wilshere (23) amefanyiwa upasuaji ikiwa ni tiba ya kutibu maumivu ya kifundo cha mguu wake wa kushoto .

Akizungumza na waandishi wa habari, Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amethibitisha taarifa za mchezaji wake kufanyiwa upsauaji na kusema kuwa licha ya Upasuaji kufanyika lakini haoni kama mchezaji huyo atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi kiref na badala yake atataraji kumwona baada ya siku kadhaa na sio miezi zaidi.

Wilshere alipata maumivu  hayo wakati Arsenal ikicheza dhidi ya Manchester United kwenye mchezo wa ligi kuu Uingereza mwezi novemba ambapo mpambano huo ulimalizika kwa ushindi wa mabao 2-1 kwa Man Utd.

Wilshere ameungana na nahodha wake Mikel Arteta, Kiungo Mthieu Flamini, Aaron Ramsey na Mlinzi Mathiew Debuchy kwenye orodha ya wachezaji majeruhi Arsenal.

Arsenal inatazamiwa kuchuana vikali na Everton mchezo ambao Wilshere ataukosa leo."

Kiungo wa klabu ya Arsenal "The Gunners" Jackei Wilshere (23) amefanyiwa upasuaji ikiwa ni tiba ya kutibu maumivu ya kifundo cha mguu wake wa kushoto .
Akizungumza na waandishi wa habari, Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amethibitisha taarifa za mchezaji wake kufanyiwa upsauaji na kusema kuwa licha ya Upasuaji kufanyika lakini haoni kama mchezaji huyo atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi kiref na badala yake atataraji kumwona baada ya siku kadhaa na sio miezi zaidi.

Wilshere alipata maumivu hayo wakati Arsenal ikicheza dhidi ya Manchester United kwenye mchezo wa ligi kuu Uingereza mwezi novemba ambapo mpambano huo ulimalizika kwa ushindi wa mabao 2-1 kwa Man Utd.

Wilshere ameungana na nahodha wake Mikel Arteta, Kiungo Mthieu Flamini, Aaron Ramsey na Mlinzi Mathiew Debuchy kwenye orodha ya wachezaji majeruhi Arsenal.
Arsenal inatazamiwa kuchuana vikali na Everton mchezo ambao Wilshere ataukosa leo.

Related Posts:

  • MATOKEO YAZUA VURUGU ARGENTINA   Polisi wa Argentina wamepambana na waandamanaji katika mji mkuu, Buenos Aires baada ya nchi hiyo kufungwa na Ujerumani katika mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia. Mapema jana jioni maelfu ya watu walikusanyika… Read More
  • Messi na Nuer wajinyakulia tuzo. Messi akipokea tuzo la ''Golden Ball'' Lionel Messi, ambaye alipoteza fursa ya kutwaa kombe la dunia aliambulia tuzo la mchezaji bora katika mchuano hu… Read More
  • Adidas waingia mkataba mnono na Manchester United.    Kampuni ya Adidas imesaini mkataba wa pauni milioni 750 wa kutengeneza jezi za Manchester United kwa miaka kumi kuanzia msimu ujao. Hatua hii imekuja baada ya mahasimu wao wa Marekani, Nike, kuamua kutoen… Read More
  • Adebayor augua Malaria,atakosa ziara za Marekani.   Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur Emmanuel Adebayor atakosa ziara ya Marekani baada ya kuukutwa na Malaria. Adebayor, 30, alilazwa hospitali siku ya Jumamosi kwa kile klabu yake imesema "homa ndogo" ya malaria. A… Read More
  • ADHABU YA POWELL YAPUNGUZWA    Bingwa wa zamani wa mbio za mita 100 Asafa Powell na Sherone Simpson wote kutoka Jamaica wamepunguziwa adhabu ya kufungiwa, kutoka miezi 18 hadi miezi sita. Uamuzi uliotolewa na mahakama ya usuluhisi wa m… Read More

0 comments:

Post a Comment