Facebook

Sunday 22 March 2015

ZITTO KWABWE AJIUNGA RASMI ACT,AKABIDHIWA KADI No.007194

Baada ya songombingo lililochukua taswira mbalimbali katika jamii kati ya Zitto Kabwe na kilichokuwa Chama Chake CHADEMA.

Hatimaye Zitto Kabwe baada ya Kujiengua CHADEMA amejiunga rasmi na chama cha ACT ambapo anaenda kuungana na Prof Kitila.

0 comments:

Post a Comment