Facebook

Saturday 28 March 2015

Facebook kufungua huduma mpya kama "WhatsApp"

Mtandao wa facebook umethibitisha kwamba unafungua huduma yake ya messenger kwa wajenzi.

Habari hizo zilitangazwa na Mark
Zuckerberg katika kongamano la nane la wajenzi lililofanyika mjini San Fransisco.

Zaidi ya programmu 40 mpya zikiwemo habari za hali ya anga tayari zimeandaliwa kwa huduma hiyo.

Mtandao huo wa kijamii pia ulionyesha programu yake ya video inayomruhusu mtumiaji
kusukuma kamera huku kanda hiyo ikicheza.

0 comments:

Post a Comment