Facebook

Sunday 29 March 2015

TANZIA ABDU BONGE AFARIKI DUNIA.

Aliyewahi kuwa Meneja wa wasanii na mwanzilishi wa kundi la Tip Top Connection, Abdu Bonge amefariki dunia ghafla usiku Wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake.

Mmoja wa wasanii aliye kundi la Tip Top
Connection Madee, amesema kuwa bado hajafahamu chanzo cha kifo ila amefariki ghafla usiku huu akiwa nyumbani na msiba upo Manzese
Tip Top

RIP Abdu Bonge

0 comments:

Post a Comment