Facebook

Monday 30 March 2015

Majambazi yavamia Kizuizi cha Polisi na sheli huko Kongowe-Mkuranga hivi punde.

Habari zilizotufikia BantuTz.com hivi punde kutoka eneo la Kongowe-Mkuranga mkoani Pwani.

Ni kwamba Majambazi wamevamia kizuizi cha polisi katika eneo la kongowe na kuuwa askari polisi wawili na kupora bunduki aina ya SMG mbili muda huu.

Pia baada ya tukio hili wamevamia sheli ya lake oil na kutokomea msitu wa vikindu mkuranga.

Endelea kutembelea www.bantutz.com uweze kujua kila kitakachokuwa kinajiri.

0 comments:

Post a Comment