Wednesday, 3 June 2015
Benitez kutangazwa kocha mpya Real Madrid.
Rafael Benitez anatarajiwa kutangazwa leo hii kuwa meneja mpya wa Real Madrid. Meneja huyo wa zamani wa Liverpool na Chelsea, aliyekuwa meneja wa Napoli msimu wa 2014-15 atachukua nafasi ya Carlo Ancelotti kwenye uwanja wa Bernabeu.
Related Posts:
Cristiano Ronaldo kuondoka Real Madrid Gazeti la Ki-hispania Don Balón limedai kwamba kuenguliwa kwa Carlo Ancelotti, kuzorota kwa maelewano kati ya Ronaldo na Perez, kuelekea kuajiriwa kwa Rafa Benitez na supoti kubwa aitoayo Perez kwa Bale vimekua chachu y… Read More
Ujumbe wa Rio Ferdinand baada ya kutundika jaruba. Akiwa bado kwenye majonzi makubwa ya mkewe aliyefariki duniani mwanzoni mwa mwezi huu, beki wa zamani wa Manchester United na timu ya Taifa ya England Rio Ferdinand ameweka wazi mikakati yake mip… Read More
GUTIERREZ ATEMWA NEWCASTLE AMENDIKA UJUMBE MZITO; Jonas Gutierrez ameibwatukia klabu yake ya Newcastle baada ya kuthibitishwa rasmi kuwa Muargentina huyo hatapewa mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Ilithibitishwa rasmi katika tovuti ya klabu hiyo kuwa G… Read More
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika kurasa za magazeti yote ya leo Jumatatu,Juni 1. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata habari nuh… Read More
TEGETE NA NIZAR KUKIPIGA MWADUI MSHAMBULIAJI Jeryson Tegete na kiungo Nizar Khalfan wamesajiliwa na timu mpya iliyopanda ligi kuu soka Tanzania bara msimu ujao, Mwadui fc. Kocha mkuu wa Mwadui, Jamhuri Musa Kihwelo 'Julio' amethibitisha kuwasajili wa… Read More
0 comments:
Post a Comment