Mwenyekiti Mweza wa Ukawa James Mbatia amesema wamefungua
milango kwa makada wa CCM ambao wanataka kujiunga na UKAWA,
awataka kufanya maamuzi sasa na kwamba wakifunga milango
hawatapokea.
"Hata kwa makada wa CCM, ambao wanaotaka kujiunga na Ukawa
waje sasa wasisubiri wakishachujwa wakawa makapi, sisi hatuwezi
kupokea makapi yaliyochujwa huko waje sasa tupange pamoja,"
Kwa mtazamo wako unadhani kiongozi gani atatoswa CCM na kuwa
kapi?
Wednesday, 3 June 2015
Mbatia-Ukawa hatupokei makapi kutoka CCM.
Related Posts:
Kanisa katoliki kutangaza watakatifu leo huko Vatican..... Kanisa katoliki leo linategemea kuwatangaza watakatifu ambao huandikwa katika kitabu cha maisha ya watakatifu,Papa John Paul II na John XXIII wanatarajiwa kutangazwa watakatifu katika tukio litakaloongozwa na kion… Read More
Basi la RATCO lapata ajali mbaya huko kibaha,Pwani........... Ilikuwa ni purukushani wakati ambapo kila abiria akijaribu kujikwamua na kutoka nje ya basi hilo Basi la kampuni la RATCO linalofanya safari zake Dar-Tanga limepata ajali baada ya ktumbukia mtaroni m… Read More
Rais Kikwete:Muungano wetu ni mfano wa kuigwa bara la Afrika Rais Jakaya Kikwete amesema Bara la Afrika lina jambo la kujifunza kutokana na mafanikio yaliyopatikana kwenye Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliodumu kwa miaka 50. Amesema kuwa kitendo cha Muungano kudumu, kuimarika… Read More
Jaji Warioba atoa ya Moyoni dhidi ya Uongo na Matusi Bunge la Katiba........ Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Joseph Warioba amesema baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wametumia vibaya Bunge hilo kwa kumshambulia na kumsingizia mambo ya uongo kwa makusudi, akisema matusi yanayot… Read More
Kama ulikosa matukio ya kuadhimisha miaka 50 ya sherehe za muungano....angalia hapa..... Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), akiwa ameruka kwa miguu yote hewani na kuvunja mbao zilizokuwa zimeshikwa na wenzake wakati wa maonyesho ya kijeshi ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano kwenye Uw… Read More
0 comments:
Post a Comment