Facebook

Thursday 4 June 2015

Juventus yamnasa mshambuliaji hatari Paulo Dybala


Mabingwa wa ligi kuu ya Italia Juventus leo hii wamethibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji Paulo Dybala kutoka katika klabu ya Palermo kwa kitita cha euro milioni 32.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 21 amesaini mkataba wa miaka 5 kuwatumikia mabingwa hao wa kihistoria.

0 comments:

Post a Comment