Facebook

Saturday, 6 June 2015

Rais wa Afrika Kusini ahusishwa kashfa ya rushwa FIFA.

Waziri wa michezo wa Afrika Kusini , Fikile Mbalula, sasa anasema rais wa zamani wa Afrika kusini Thabo Mbeki ndie aliyeruhusu ulipwaji wa fedha ,dola milioni 10 kwa FIFA , hela ambayo sasa inakumbwa na madai kwamba ilikuwa rushwa .
Utawala wa Afrika Kusini umekuwa ukisisitiza kwamba ulikuwa ni mchango wa kusaidia kukuza soka katika nchi za Caribbean.
Lakini waendesha mashtaka wa Marekani wanadai ilikuwa hongo, iliyoshawishi kupewa uenyeji wa kombe la dunia mwaka 2010 .
Bwana Mbeki mwenyewe hajatoa kauli yoyote kuhusiana na swala hilo.
Barua inayosemekana iliandikwa na shirikisho la soka nchini Afrika kusini , inaonekana kuongeza uzito kwenye shutuma kwamba serikali ya nchi hiyo ilitoa malipo hayo kwa siri.

Related Posts:

  • Majeruhi wazidi kuongezeka ArsenalKiungo wa Arsenal Jack Wilshere hatocheza dhidi ya Burnley siku ya Jumamosi kwa sababu ya jeraha la goti. Kieran Gibbs naye atatazamwa kama ataweza kucheza, huku Matheiu Debuchy, Yaya Sanogo, Laurent Koshielny, Mesut Ozil, Ab… Read More
  • Manchester City yatolewa Capital One Mechi za kombe la ligi ya CAPITALA ONE CUP zimeendelea usiku wa kuamkia leo viwanjani. Manchester City ikicheza nyumbani ilijikuta ikiwaduwaza mashabiki wake baada ya kukubali kichapo cha mabao 2 bila majibu kutoka kwa N… Read More
  • ROONEY KUCHEZA, FALCAO NJE MANCHESTER DERBY  Wayne Rooney yuko 'fiti' na ataanza kwa upande wa Manchester United dhidi ya Manchester City, lakini mshambuliaji Radamel Falcao hatocheza kutokana na kuwa bado majeruhi. Meneja wa Man Utd Louis van Gaal amethibiti… Read More
  • Chelsea yapeta Capital One Cup. Didier Drogba ameipa ushindi Chelsea wa mabao 2-1 dhidi ya Shrewsbury. Mchezo huo wa kombe la ligi marufu kama capital one, umechezwa usiku wa kuamkia leo. Timu kadhaa zilijitupa uwanjani ili kutafuta nafasi ya kuingia rob… Read More
  • Diego Costa hatihati. Diego Costa huenda akacheza katika mechi ya Ligi Kuu ya England dhidi ya Manchester United licha ya kuugua na kulazimika kupelekwa hospitali. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Spain, 26, amekuwa akipata nafuu akiwa nyumbani na … Read More

0 comments:

Post a Comment