Kiungo James Milner anakamilisha uhamisho kwenda Liverpool akitokea timu Manchester City midfielder.Milner miaka 29 anategemewa kuungana na Wekundu hao July mosi tayari kwa msimu mpya.Milner ameshinda Premier League mara mbili na FA mara moja.Amechezea timu ya taifa mara 53 na kufunga goli moja.
kwa umri wa miaka 29 na kiwango chake Liverpool inasababu ya kumpa mkataba ajiunge Anifield?
Related Posts:
UNAJUA JINSI WENGER ALIVYOMSHAWISHI SANCHEZ? SOMA HAPA
- Wenger alipata taarifa kwamba Sanchez anafanya mipango ya kuhama
Barcelona lakini angependelea zaidi kurudi Italy, kwani anaijua ligi
hiyo vilivyo alipokua akiichezea Udinese. - Wenger alimtembelea Sanchez kwa kum… Read More
Sanchez aitolea nje Liverpool,aitaka Arsenal.
Liverpool wamekubali yaishe katika jaribio lao la kumsajili straika wa Barcelona , Alexis Sanchez,25.
Viongozi wa The Reds walifanya mazungumzo na mchezaji huyo raia wa Chile, wakitaraji wanaweza
kumshawishi … Read More
Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali baranI Ulaya.
Uhamisho wa Luis Suarez kutoka Liverpool kwenda Barcelona bado
unasuasua kutokana na kutokubaliana jinsi ya kukamilisha ada ya pauni
milioni 75 (Daily Mail),
Beki wa kulia kutoka Ufaransa Mathieu Debuchy,
28, an… Read More
Tetesi za Usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya.
Arsenal watakamilisha usajili wa mshambuliaji kutoka Chile, Alexis
Sanchez, 25 anayechezea Barcelona siku ya Jumatano, kwa mujibu wa Arsene
Wenger (Talksport),
Tottenham wam… Read More
Mnachester City wazidi kujiimarisha kwa kusajili kipa mwingine.
Manchester City wamemsajili kipa wa Malaga Willy Caballero. Muargentina
huyo mwenye umri wa miaka 32, amesaini mkataba wa miaka mitatu kwa
kitita ambacho hakikutajwa.
Caballero, aliyecheza chini ya Manu… Read More
0 comments:
Post a Comment