Hakuna timu ambayo ipo nyuma kupata wachezaji
wazuri kwa ajili ya msimu ujao. Ukikaa nyuma muda
wa usajili maisha hayatakua mazuri muda wa msimu
ujao.
Arsenal inakomaa kumpata mchezaji Kondogbia ambae
pia anatakiwa na Inter milan. Mchezaji huyu
anamilikiwa na Monaco na wanakomaa kwa kutaka
ada ya €35 million (£25.4m). Harakati zinaendelea ili
Arsenal waweze kumpata mchezaji huyu
Wednesday, 3 June 2015
Arsenal yamtengea dau Kondogbia.
Related Posts:
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 25BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa katika ku… Read More
Hazard aondoka Chelsea. Thorgan Hazard, mdogo wake Eden Hazard wa Chelsea ameingia mkataba wa kubadili uhamisho wake wa mkopo katika klabu ya Borussia Munchengladbach ya Ujerumani, kuwa wa kudumu ifikapo mwisho wa msimu huu. Thorgan Hazard, 21… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 22 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa k… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 24BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa katika ku… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO FEBRUARI 23 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa ka… Read More
0 comments:
Post a Comment