Mshambuliaji
Diego Costa ametupilia mbali taarifa kuwa anataka kuondoka Chelsea na
kurejea Spain. Mchezaji huyo, 26, alihamia Chelsea akitokea Atletico
Madrid mwaka jana kwa pauni milioni 32.Akizungumza na Chelsea TV amesema: "Napapenda hapa, mashabiki wananipenda na ninataka kubakia hapa."
Related Posts:
Uholanzi v Costa Rica - Saa tano usiku Afrika Mashariki… Read More
Kocha wa Ujerumani akisifia kikosi chake
Kocha wa Ujerumani Joachim Low amekimwagia sifa kikosi chake mara
baada ya kuifungisha virago timu ya Ufaransa katika mchezo wa robo
fainaili kwa ushindi wa goli 1-0.
Low amesema kuwa mbinu za kiuchezaji wali… Read More
ARGENTINA NUSU FAINALI KWA MARA YA KWANZA TANGU 1990!!
Goli la Gonzalo Higuain laipeleka Agrentina nusu fainali Kombe la Dunia 2014 Argentina 1-0 Ubelgiji
… Read More
Arjen Robben aitia kiwewe Costa Rica
Kocha wa Costa Rica, Jorge Luiz Pinto ametoa maoni kuwa winga
machachari wa Kidachi Arjen Robben anastahili adhabu kali kama atajaribu
kurudia ile tabia yake ya kujiangusha ndani ya eneo la pe… Read More
UHOLANZI v COSTA RICA
UHOLANZI: Cillessen, Vlaar, De Vrij, Martins Indi, Blind, Van Persie (c), Sneijder, Robben, Kuyt, Wijnaldum, Depay
COSTA RICA: Navas, Acosta, Gonzalez, Umana, Borges, Bolanos, Campbell, Ruiz (c), Diaz, Gambo… Read More
0 comments:
Post a Comment