Mchezaji nyota wa Arsenal Mesut Ozil ameshinda tuzo ya balozi wa mpira wa Ujerumani 2015. Mesut Ozil ametangazwa kuwa balozi wa mpira wa Ujerumani mapema wiki hii.Tuzo hii hutolewa kwa watu wanofanya kazi za kuitolea.Ozil, amesema tuzo hii ina mana kubwa kwake.
Jezi mpya za United zavuja
Man United wanakuja na kocha mpya, jezi mpya zikiwa na mdhamini mpya Chevrolet.
Fulana mpya za Manchester United watakazovaa wakiwa nyumbani zimevuja
mtandaoni – picha mpya za fulana hizo…Read More
James Rodriguez afunguka kuhusu kutokwa na machozi.
James Rodriguez amesisitiza kwamba alishindwa kuvumilia machungu
aliyoyapata mara baada ya kutolewa katika michuano ya Kombe la Dunia
katika hatua ya robo fainali ukizingatia walivyo wakicheza kwa
k…Read More
Fellaini "Sina cha kuonyesha Man Utd"
kiungo wa Man united Marouane Fellaini amesema hana cha kuonyesha Man united.
Mchezaji huyo alie sajiliwa kwa dau la paundi milioni 27 toka timu
ya Evarton na kocha David Moyes amekua akitawaliwa na kiwango c…Read More
Van Gaal aeleza sababu za kubadili kipa.
Kocha wa Uholanzi Luis van Gaal amesema urefu wa kipa Tim Krul ndio
ulimfanya amchezeshe katika mikwaju ya penati katika mchezo wa robo
fainali dhidi ya Costa Rica. Krul, mwenye urefu wa futi 6 na inchi
4, (mi…Read More
0 comments:
Post a Comment