Facebook

Saturday 6 June 2015

Mesut Ozil ajinyakulia tuzo Ujerumani.

Mchezaji nyota wa Arsenal Mesut Ozil ameshinda tuzo ya balozi wa mpira wa Ujerumani 2015.
Mesut Ozil ametangazwa kuwa balozi wa mpira wa Ujerumani mapema wiki hii.Tuzo hii hutolewa kwa watu wanofanya kazi za kuitolea.Ozil, amesema tuzo hii ina mana kubwa kwake.

0 comments:

Post a Comment