Wednesday, 3 June 2015
Cleveland Cavaliers na Golden State Warriors kumenyana leo katika fainali ya kwanza NBA
By Unknown at Wednesday, June 03, 2015
No comments
Mara ya mwisho kwa Warriors wa jiji la Oakland kushinda ilikuwa mwaka 1975, huku jiji la Cleveland likiwa halijapata ushindi tangu mwaka 1964, wakati huo Cleveland Browns waliposhinda NFL.
Wachezaji nyota LeBron James na Stephen Curry watakuwa na matumaini ya kusaidia timu zao kupata ushindi.
Related Posts:
Hawa ndio wachezaji waliochaguliwa katika timu bora ya wiki hii katika michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya.Hawa ndio wachezaji waliochaguliwa katika timu bora ya wiki katika michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya. 1.Gianluigi Buffon 2.Alessandro Florenzi 3.Diego Godin 4.Kostas Manolas 5.Angel Di Maria 6.Thiago Alcantara 7.Hakan… Read More
Bondia afariki baada ya kupigwa kwa "Knock-Out"Mwana masumbwi mmoja wa Australia amefariki siku nne baada ya kupoteza fahamu alipopigwa 'knock out' katika pigano la kijimbo mjini Sidney. Davey Browne mwenye umri wa miaka 28 aliangushwa na Carlo Magali wa taifa la Ufilipin… Read More
Maafisa wa kikosi cha ulinzi cha rais nchini Burkina Faso wametangaza kuvunja serikali ya mpito. Maafisa wa kikosi cha ulinzi cha rais nchini Burkina Faso wametangaza kuvunja serikali ya mpito. Badala yake "Baraza la Kidemokrasia na Kitaifa" ndio litachukua udhibiti na kumaliza "utawala dhalimu", amesema afisa mmoja kupi… Read More
Jengo refu Afrika lazinduliwa Tanzania. Jengo la PSPF Towers lililozinduliwa na Rais Kikwete hapo jana ni moja ya majengo machache marefu barani Afrika na ndiyo jengo refu zaidi LILILOKAMILIKA Afrika Mashariki na Kati, likiwa na urefu wa mita 147. Ujenzi wake u… Read More
Mourinho "Nilisahau utamu wa ushindi"Kocha mkuu wa Chelsea Jose Mourinho amesema alikuwa amesahau utamu wa ushindi akizungumza baada ya vijana wake kujikwamua na kupata ushindi wa 4-0 dhidi ya Maccabi Tel Aviv. Hii ni baada ya klabu hiyo kuanza vibaya ligi ya Pr… Read More
0 comments:
Post a Comment