Facebook

Saturday 6 June 2015

Henderson afurahia Brendan Rodgers kubaki Liverpool.

Kiungo Jordan Henderson amefurahia maamuzi ya uongozi kumbakisha kocha wa Liverpool Brendan Rodgers
Kapteni huyo amesisitiza watamaliza msimu ujao kwa mafanikio na kuiletea heshima timu hiyo.
Kocha Rodgers alikuwa na wakati mgumu baada ya matokeo yasiyofurahisha mwishoni mwa msimu na kushindwa kuwapa kikombe chochote.
Kwa kikosi cha sasa cha Liverpool kitaweza kushindana na miamba mingine ya soka katika mbio za ubingwa?

0 comments:

Post a Comment