Bunge la jamhuri limepata msiba wa kufiwa na
mbunge wa jimbo la Ukonga, alikuwa na tatizo
la shinikizo la damu kwa muda mrefu, Amefariki
nyumbani kwake hapa Dodoma. Nyumbani kwa
marehemu ni eneo la Chaduru opposite na jengo
jipya la hoteli ya Shabiby barabara ya Dar es
Salaam, Mwili umepelekwa hospitali ya mkoa wa
Dodoma kwa uchunguzi zaidi.
Shughuli ya Kuaga itafanyika kesho baada ya
kuwasili hapa Dodoma. Tutatumia mtandao wa
simu kuwajulisha taarifa zaidi, kwa jinsi hio
natumia kanuni ya 152 kuahirisha bunge hadi
keshokutwa Alhamis.
Tuesday, 2 June 2015
Mbunge wa Jimbo la Ukonga afariki dunia.
Related Posts:
MADEREVA WA SERIKALI WALALAMIKA KUPANDISHIWA MSHAHARA Baadhi ya madereva wanachama wa Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania (CMST), wameilalamikia serikali kuendelea kuwalipa ujira mdogo huku wakidai kwamba serikali imeajiri madereva wengi kwa kutumia sheria ya mkoloni ijulik… Read More
'HOUSE GIRL' ASABABISHA KIFO, VIJANA WA KAMASAI "MORANI" WACHOMA NYUMBA KULIPIZA KISASI ARUSHAMakundi ya vijana wanaosadikiwa kuwa ni wa jamii ya kimaasai maarufu kama “Morani” katika eneo la Olasiti Jijini Arusha, wameteketeza kwa moto mali mbalimbali zikiwemo nyumba pamoja na magari ya wakazi wawili wa e… Read More
MAKUNDI NA MAKADA MBALIMBALI WAPIGANA VIKUMBO KWA LOWASSA Makundi ya watu wa kada mbalimbali yamezidi kutua nyumbani kwa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), yakimtaka achukue fomu ya kuwania urais kupitia CCM muda utakapofika. Lowassa ambaye pia ni Waziri Mkuu wa zamani, kwa w… Read More
Zitto Kwabwe abwaga manyanga rasmi,hii ndiyo hotuba yake aliyotaka kuitoa jana Bungeni.Hotuba ambayo Zitto kabwe alikusudia kuitoa Bungeni tarehe 19 March 2015. Mheshimiwa Spika, nilijiunga na Bunge lako tukufu mwaka 2005 nikiwa kijana mdogo mwenye malengo ya kupaza sauti ya vijana kwenye masuala yanayohusu nch… Read More
APAMBANA NA MAMBA ZAIDI YA NUSU SAA RUKWA Mwenyekiti wa Kamati ya Shule ya Msingi Udasi mwambao mwa Ziwa Tanganyika, kata ya Kabwe wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Ismail Ndomboya (42) amenusurika kuuawa na mamba kwa kupambana kijasiri na mnyama huyo kwa zaidi ya nusu s… Read More
0 comments:
Post a Comment