Facebook

Wednesday 3 June 2015

Van Gaal amafungia kazi kiungo Schweinsteiger

Mchezaji nyota wa Bayern Munich Bastian Schweinsteiger anabaki chaguo namba moja la timu ya Manchester United kwa nafasi ya kiungo msimu huu.Lakini United wapo tayari kumpata mchezaji kiungo wa Southampton Morgan Schneiderlin kama watashindwa kukamilisha mipango ya uhamisho wa Mjerumani huyo.
 

Je Kocha Luis Van Gaal atakamilisha usajili wa mchezaji huyu kujiunga Old Trafford?

0 comments:

Post a Comment