Facebook

Wednesday, 3 June 2015

Van Gaal amafungia kazi kiungo Schweinsteiger

Mchezaji nyota wa Bayern Munich Bastian Schweinsteiger anabaki chaguo namba moja la timu ya Manchester United kwa nafasi ya kiungo msimu huu.Lakini United wapo tayari kumpata mchezaji kiungo wa Southampton Morgan Schneiderlin kama watashindwa kukamilisha mipango ya uhamisho wa Mjerumani huyo.
 

Je Kocha Luis Van Gaal atakamilisha usajili wa mchezaji huyu kujiunga Old Trafford?

Related Posts:

  • Wakala "Ozil anaweza kuondoka mwishoni mwa msimu huu"Dr Erkut Söğüt ambae ni wakala wa Mesut Ozil ametoa maneno ambayo yamewashtua watu wengi labda hasa mashabiki wa Arsenal. Wakala huyo akiongea na vyombo vya habari vya Uturuki alizungumzia uwezekano wa mchezaji… Read More
  • Walcott mbioni kujiunga Barcelona.Mshambuliaji wa Arsenal,Theo Walcott anaweza kujiunga na mabingwa wa La Liga timu na Champions League timu ya Barcelona, Miamba ya soka hiyo ya Hispania inafuatilia kwa ukaribu maendeleo ya mchezaji huyo wa kimataifa wa En… Read More
  • Ivanovic 'kutupiwa virago' Chelsea.Kocha Jose Mourinho ameagiza watu wake wa 'scouting' kutafuta mtu ambae atachukua nafasi ya Ivanovic kutokana na jinsi kiwango chake kiivyoshuka kwenye mechi za karibuni Chelsea. Kwa muda mrefu Ivanovic alikua ni mchezaji wa … Read More
  • Falcao kutua Darajani Mchezaji Radamel Falcao anayecheza kwa mkopo Old Trafford anataka kubaki kucheza Premier League. Mcolombia huyo ameshindwa kuishawishi Manchester United kumnunua jumla. Falcao amefunga magoli manne tu Old Trafford, mchez… Read More
  • Mamadou Sakho aongeza mkataba Liverpool.Mamadou Sakho amemwaga wino na kuongeza mkatana mkataba utakaomfanya aendelee kubaki Liverpool hadi 2020. … Read More

0 comments:

Post a Comment