Mshambuliaji
wa kutumainiwa wa Ndanda Fc, Gideon Benson amesaini kandarasi ya mwaka
mmoja na nusu kujiunga na kikosi ch Mbeya City fc kinachonolewa na Juma
Mwambusi katika msimu ujao Benson ameweka kando ofa kadhaa
alizopata kutoka vilabu mbalimbali vinavyoshiriki ligi kuu ya Vodacom
Tanzania Bara alizopata hapo kabla.
Hazard aondoka Chelsea.
Thorgan Hazard, mdogo wake Eden Hazard wa Chelsea ameingia mkataba wa
kubadili uhamisho wake wa mkopo katika klabu ya Borussia Munchengladbach
ya Ujerumani, kuwa wa kudumu ifikapo mwisho wa msimu huu. Thorgan
Hazard, 21…Read More
0 comments:
Post a Comment