Facebook

Friday 5 June 2015

Everton yamnasa Tom Cleverley.

Everton watamsajili Tom Cleverley kwa mkataba wa miaka mitano wakati mkataba wake na Manchester United utakapomalizika Julai 1.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa England atakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa msimu huu na meneja Roberto Martinez. Cleverley alicheza mechi 38 za Ligi Kuu ya England, mechi 37 akiwa anaichezea Aston Villa kwa mkopo.

0 comments:

Post a Comment