Everton watamsajili Tom Cleverley kwa mkataba wa miaka mitano wakati mkataba wake na Manchester United utakapomalizika Julai 1.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa England atakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa msimu huu na meneja Roberto Martinez. Cleverley alicheza mechi 38 za Ligi Kuu ya England, mechi 37 akiwa anaichezea Aston Villa kwa mkopo.
Friday, 5 June 2015
Everton yamnasa Tom Cleverley.
Related Posts:
Ryan Giggs atangaza rasmi kustaafu sokaMuda mchache baada ya kutangazwa kuwa kocha msaidizi wa klabu ya Manchester United, mwanasoka Ryan Giggs ametangaza rasmi kustaafu soka. Giggs ambaye alianza kuichezea timu ya watoto ya Manchester United mnamo mwaka 1991,… Read More
Manchester United kukamilisha usajili wa Toni Kroos Klabu ya Manchester United jana usiku ilikuwa katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo Toni Kroos kutoka klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani. Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Uingereza United tayari wa… Read More
Man City kununua wachezaji Manchester City kununua licha ya faini ya UEFA Mwenyekiti wa Manchester City Khaldoon Al Mubarak amesema kuwa mabingwa hao wapya wa ligi … Read More
Van Gaal amteua Robin Van Persie kuwa nahodha mpya wa Man Utd !! Waholanzi wawili: Louis van Gaal (kulia) anaona Robin van Persie ndiye nahodha aliyekamilika katika klabu ya Manchester United. LOUIS van Gaal anatarajia kumteua mshambuliaji wa… Read More
City wamuudhi Yaya Toure Wakala wa kiungo wa Machester City Yaya Toure amekashifu kupuuzwa kwa kiungo huyo kutoka Ivory Coast. Dimitri Seluk alikashifu ujumbe w… Read More
0 comments:
Post a Comment