LeBron James alifunga pointi 44 lakini hazikutosha kuzuia Cleveland
Cavaliers kupoteza dhidi ya Golden State Warriors 108-100 katika
mchezo wa mwanzo wa fainali za NBA siku ya Alhamis.
Warriors waliweza kurejesha pointi 14 na kupata ushindi katika muda
wa nyongeza, ingawa James angeweza kushinda katika sekunde za
mwisho za muda wa kawaida, lakini alikosa mtupo wa mbali.
Friday, 5 June 2015
Golden State Warriors yaishangaza Cleveland Cavaliers fainali ya kwanza NBA.
Related Posts:
Orodha ya vilabu 10 ulaya vilivyotengeneza fedha nyingi kwenye usajili.1. Southampton FC 97 2. Real Madrid CF 89.4 3. Chelsea FC 81 4. Liverpool FC 80 5. AS Monaco 76 6. FC Barcelona 68.7 7. FC Porto 67 8. Club Atlético de Madrid 58.2 9. Sevilla FC 43 10. FC Bayern München 39 … Read More
Clash of the Titans...Chelsea Vs Manchester CityUsithubutu kunywa uji wa mgonjwa...Wala mtoto hatotumwa dukani majira ya saa 12:00 Jion kwa masaa ya Afrika Mashariki mtanange kati ya Vijana wa Darajani,The Blues almaarufu kama Chelsea watakapopambana na The Citizen,Manches… Read More
LUIS VAN GAAL "LAZIMA MUWEZE KUZUNGUMZA KIINGEREZA VIZURI"-Hayo ni maneno aliyo yazungumza Manager wa Man United LOUIS VAN GAAL akiwataka wachezaji wake wapya alio wasajili katika dirisha lililofungwa juzi waweze kuzungumza kiingereza vizuri ili iweze kuwasaidia vizuri katika kazi y… Read More
Mourinho amponda Lampard. Mouringo akimuongelea Lampard baada ya kufunga bao lililopelekea matokeo dhidi ya City kua 1-1. 'Alipoamua kujiunga na wapinzani wetu tunaochuana nao kuwania ubingwa, hadithi za mapenzi zikaisha. Amefanya kazi yake (kufunga)… Read More
Yanga yaanza kwa Kipigo,Azam yaangua Kicheko Ligi Kuu Tanzania Bara.Dar es Salaam Young Africans imeianza ligi kuu kwa kichapo baada ya kufungwa 2-0 na Mtibwa Sugar katika mchezo uliofanyika uwanja wa Jamhuri. Magoli ya Mtibwa yalifungwa na Musa Hassan Mgosi katika dakika ya 16 baada ya kupok… Read More
0 comments:
Post a Comment