Facebook

Friday 5 June 2015

Golden State Warriors yaishangaza Cleveland Cavaliers fainali ya kwanza NBA.

LeBron James alifunga pointi 44 lakini hazikutosha kuzuia Cleveland
Cavaliers kupoteza dhidi ya Golden State Warriors 108-100 katika
mchezo wa mwanzo wa fainali za NBA siku ya Alhamis.
Warriors waliweza kurejesha pointi 14 na kupata ushindi katika muda
wa nyongeza, ingawa James angeweza kushinda katika sekunde za
mwisho za muda wa kawaida, lakini alikosa mtupo wa mbali.

0 comments:

Post a Comment