Timu
ya Liverpool itashindwa kumsaini mchezji Alexandre Lacazette ,baada ya
Rais wa timu ya Lyon Jean-Michel Aulas kusema mchezaji wake hatojiunga
na Liverpool kufuatia timu hiyo ya Anfield kukosa nafasi ya kushiriki
Champions League msimu ujao.
Mchezaji huyo amefunga magoli 27 katika
Ligue 1 msimu huu pia anafuatiliwa na miamba mingine ya Premier League
timu za Arsenal, Newcastle na Tottenham.
kwa upande wake Brendan
Rodgers amesikitishwa na maamuzi hayo baada ya kushindwa kuipa timu yake
nafasi ya kushiriki klabu bingwa Ulaya.
Je ! unadhani mchezaji Lacazette ni chaguo bora kwa Liverpool kwa msimu ujao wa EPL katika kurudisha heshima Anfield.
Related Posts:
Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya.
Chelsea wako tayari kumuuza John Obi Mikel kwa pauni milioni 5 na klabu
kadhaa za Serie A za Italia zimeambiwa zinaweza kumchukua (Daily Mail),
Meneja wa Manchester City, Manuel Pellegrini amekataa kuzungumza … Read More
Filipe Luis atua Darajani.
Chelsea wametoa taarifa ikisema imemsajili Filipe Luis kutoka Atletico Madrid ingawa bado "wanasubiri makubalano ya maslahi binafsi na beki huyo wa kushoto mwenye umri wa miaka 28".
Mchezaji huyo wa Brazil, kwa … Read More
BREAKING NEWS:MOURINHO AMPIGIA SIMU KHEDIRA,AMTAKA KIUNGO HUYO DARAJANI.
.
Meneja wa Chelsea Jose Mourinho inaarifiwa amempigia simu kiungo wa
Real Madrid Sami Khedira kujaribu kumshawishi mchezaji huyo wa Ujerumani
kwenda Darajani badala ya Arsenal, limesema shirika la habari la ABC,
n… Read More
Tetesi za Usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya.
Chelsea wapo tayari kumuuza John Obi Mikel, 27, wakati wanapanga
kumnyatia kiungo wa Real Madird Sami Khedira, 27 ambaye pia anatakiwa na
Arsenal (Daily Express),
Arsenal wanatarajia kuthibitisha siku … Read More
Louis Van Gaal kwenye mkutano wake na waandishi wa habari.Na hiki ndicho alichokisema..!!!
Louis
van Gaal kwenye mkutano na waandishi wa habari Old Trafford:
"Nitafanya jitihada zote kwenye hii timu kubwa duniani. Ndani ya siku 2 tayari nimeshajua umuhimu wa Manchester United."
"Nimefundisha Ajax timu … Read More
0 comments:
Post a Comment