Facebook

Wednesday 3 June 2015

Benitez atambulishwa rasmi Real Madrid.

 
Rafael Benitez ametambulishwa rasmi kama meneja mpya wa Real Madrid. Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari amesema:
"Hii ni ngumu, kutakiwa kuzungumza, lakini sijui niseme nini," amesema meneja huyo wa zamani wa Liverpool."Madrid ndio nyumbani. Ni hisia kali kurejea. Ni matumaini yangu kuwa mambo yatakwenda sawa, na timu icheze kandanda nzuri na kushinda makombe."

0 comments:

Post a Comment