Carlos Tevez na Javier Mascherano ni marafiki wawili ambao walisajiliwa pamoja kwenye timu
ya West Ham na baadae wakaendelea kwenye timu mbalimbali hadi leo hii Masherano yupo Barcelona na Tevez yupo Juventus.
Siku ya June 6 kwenye fainali ya UEFA wataweka undugu na urafiki wao pembeni na kucheza kwa ajili ya timu zao.
Tuesday, 2 June 2015
Tevez,Mascherano marafiki wanaokutana fainali.
Related Posts:
FRANCE v BRAZIL , STADE DE FRANCE LEO USIKU, KUKUMBUSHIA FAINALI YA 1998(WORLD CUP) Siku ya Alhamisi Usiku katika dimba la Stade de France Jijini Paris, ambako France Mwaka 1998 iliichapa Brazil 3-0 na kutwaa Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza na ya mwisho , ndio utakuwa Uwanja wa Mechi ya Kirafiki kati… Read More
BantuTz MAGAZETINI:SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA KURASA ZA MAGAZETI MBALIMBALI YA LEO MACHI 31,2015. BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa k… Read More
CHICHARITO "REAL MADRID NI MAJANGA"Mshambuliaji Javier Hernadez " "Chicharito" amesema kuendelea kukaa benchi katika klabu ya Real Madrid kunamfanya akose furaha na kukosa kujiamini. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Mexico alijiunga na mabingwa hao wa Ulaya mwanz… Read More
Wanyama na Mitrovic mbioni kujiunga Arsenal.Kiungo wa kati wa Southampton Mugubi Wanyama Kocha wa Arsenal Arsene Wenger anapanga kumnunua kiungo wa kati wa Southampton Mkenya Victor Wanyama na mshambuliaji wa Anderlecht Aleksandr Mitrovic kulingana na gazeti la the Sun… Read More
Azam FC- Hatujamzuia Kavumbagu Kwenda BurundiUongozi wa Azam FC umesema haujamzuia mshambuliaji wake wa kimataifa, Didier Kavumbagu kurejea kwao kuitumikia timu yake ya taifa ‘Entamba Murugamba’.Katika taarifa yake, Msemaji wa Azam FC Jaffar Idd Maganga,ames… Read More
0 comments:
Post a Comment