Facebook

Wednesday 3 June 2015

Man United wapewa nafasi kubwa kumnasa Gundogan.

Manchester United inamwinda mchezaji IIkay Gundogan kutoka Dortmund lakini taarifa zinasema mchezaji huyo yupo katika mazungumzo na vilabu vingine vya Bayern Munich na Barcelona.
Timu za Arsenal, Chelsea zinatajwa kumchukua mchezaji huyo ,ingawa Manchester United inapewa chapuo kubwa la kumnasa mchezaji huyo mwenye miaka 24,kuja kukipiga klabuni hapo Old Trafford msimu huu.Mwenyewe anasema mazungumzo hayajakamilika na kufikia maamuzi ya mwisho

0 comments:

Post a Comment