Facebook

Wednesday 3 June 2015

Falcao akubali kutua Chelsea.

Kama BantuTz tulivyo ripoti hapo mwanzoni kwamba mama yake Falcao alisema kwamba mwanae hana furaha ndani ya Manchester united. Kwa hiyo lazima alikua anatarajiwa kuondoka Old Trafford baada ya msimu
kuisha.
Habari ikufikie kwamba ndani ya siku chache zijazo Falcao anatarajiwa kutangaza kwamba atajiunga na Chelsea F.C. ambapo anaenda kujaribu kucheza tena ligi ya uingereza akiwa na timu nyingine.

0 comments:

Post a Comment