Facebook

Sunday, 31 May 2015

Arsenal bingwa Kombe la FA.

Timu ya Arsenal imeshinda tena kombe la FA baada ya kuwaburuza Aston Villa 4 - 0 katika dimba la Wembley
1 - 0 Theo Walcott aliwapa uongozi Arsenal kwa goli la dakika ya 40 kipindi cha kwanza.
2 - 0 Alexis Sanchez akafunga goli la pili kwa shuti la umbali wa mita 25.
3 - 0 Beki Mjerumani Per Mertesacker akafunga kwa kichwa dakika ya 61
4 - 0 Akitokea benchi Olivier Giroud alifunga goli la mwisho kwa Aresal usiku wa leo na kuwamaliza Villa 4 - 0 kombe la FA.

Related Posts:

  • FIFA yampa ruksa Suarez kufanya mazoezi   FIFA imesema Luis Suarez ataruhusiwa kufanya mazoezi na Liverpool wakati akitumikia adhabu yake ya miezi minne na mechi nane za kimataifa. Wakati huohuo Uruguay imekata rufaa kupinga adhabu hiyo. Suarez ali… Read More
  • Wachezaji saba wa Ujerumani waugua mafua.     Wachezaji saba wa Ujerumani wana dalili za ugonjwa wa mafua, saa 24 kabla ya mechi yao ya Kombe la Dunia dhidi ya Ufaransa. Kocha wa Ujerumani Joachim Low amesema wengi wao wana "maumivu ya koo" lakini ha… Read More
  • Neymar kukosa kombe la dunia Mchezaji Neymar baada ya kupata jeraha Nyota wa timu ya soka ya Brazil Neymar hatoshiriki tena katika michuano ya kombe la dunia baada kupata jeraha. Mfupa wake unaoshikana na uti wa mgongo ilivunjika katika mechi ya … Read More
  • Neymar azungumzia kuhusu "Pressure" walionayo.     Neymar amekuwa akigonga vichwa vya habari katika magazeti ya Brazil asubuhi ya leo. Namba 10 huyo wa Brazil akizungumza na waandishi wa habari jana, na alipoulizwa kuhusu 'uzito' alionao mabegani kuto… Read More
  • Hazard akataa kulinganishwa na Messi Eden Hazard amesema ana nia ya kufikia kiwango cha Lionel Messi, ila kwa sasa sio lengo lake. Eden Hazard amekataa kulinganishwa kwa ubora na mshambuliaji hatari wa Argentina Lionel Messi, wachezaji hao waw… Read More

0 comments:

Post a Comment