Facebook

Saturday 30 May 2015

Sepp Blatter atangazwa kuwa rais wa FIFA.

BBC Swahili's photo.
Blatter ametawazwa baada mpinzani wake mwanamfalme Ali bin Hussain wa Jordan kujiondoa baada ya kushindwa katika raundi ya kwanza kwa kura 133-73.

0 comments:

Post a Comment