Mwigulu Nchemba ambaye ni Naibu Katibu Mkuu CCM Tanzania Bara katangaza kujivua cheo hicho na kuanza rasmi mchakato wa kugombea nafasi ya kuteuliwa kugombea Urais TZ kwa tiketi ya CCM.
Monday, 25 May 2015
Mwigulu Nchemba ajivua uongozi CCM kugombea Urais
Mwigulu Nchemba ambaye ni Naibu Katibu Mkuu CCM Tanzania Bara katangaza kujivua cheo hicho na kuanza rasmi mchakato wa kugombea nafasi ya kuteuliwa kugombea Urais TZ kwa tiketi ya CCM.
Related Posts:
Vurugu makao makuu ya Polisi, waandishi wapigwa.Vurugu zimezuka jana asubuhi katika makao makuu ya jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, muda mfupi baada ya Mwenyekiti taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo – Chadema, Freeman Mbowe, kuwasili kwa a… Read More
BRELA yapunguza muda wa kufanya kazi kuhimiza uanzishwaji wa makampuni nchini.Usajili wa jina la Biashara nchini umepunguzwa kuwa masaa nane (8) toka siku saba (7) kama zilivyokuwa awali katika taasisi ya BRELA. CEO Frank Kanyusi amedai hapo jana kuwa hii ni moja ya njia ya kuhamasisha uuaji na uanzish… Read More
Kijana akamatwa akiunga kwa wizi mitambo ya Azam Tv na Zuku.Katika hali ya kushangaza, mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Ali, mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, amekamatwa na polisi baada ya kudaiwa kuunganisha visivyo halali, mitambo ambayo iliwawezesha watu kuangalia matangazo … Read More
Zitto Kabwe aeleza Jinsi Kampuni ya PAP ilivyoichukua IPTL bure na kujichotea Dola za Marekani 128M kutoka BoTJinsi Kampuni ya Pan Africa Power Ltd (PAP) ilivyoichukua Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) bure na kujichotea Dola za Marekani 128 milioni kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) 1. Muhtasari KWA miaka ishirini sasa, wanasias… Read More
Moto wateketeza nyumba 21, Tufani yaezua 11, 240 wakosa makazi SengeremaWakazi 240 wanaoishi kisiwa cha Nyamango kijiji cha Lushamba kata ya Buliaheke Wilayani Sengerema hawana makazi ya kuishi kutokana na kuzuka kwa moto usiku wa septemba 19 na mvua iliyombana na tufani mapema asubuhi ya jana(le… Read More
0 comments:
Post a Comment