Facebook

Sunday 31 May 2015

Chelsea yatakata mechi za maandalizi ya msimu.

Timu ya Chelsea imeshinda mchezo wa kirafiki 1 - 0 dhidi ya Thailand katika maandalizi ya msimu ujao huko Bangkok.
Kinda wa miaka 17 kutoka timu B ya Chelsea Dominic Solanke aliwapa Blues uongozi wa mechi hiyo baada ya kupasia nyavu kipindi cha kwanza.
Chelsea itamaliza msimu wake wa kujiandaa kwa mechi yake ya kirafiki na Sydney FC.

0 comments:

Post a Comment