Facebook

Thursday 21 May 2015

Ukiachana na Ulingo wa siasa,kumbe Rais Nkurunziza ni Kocha na mchezaji wa soka mzuri sana huko Burundi.

   PIERRE NKURUNZIZA ukiachilia mbali ni mwanafamilia wa siasa na hivi sasa ni Raisi wa Burundi akiwa anazongwa na wananchi wake kuto kugombea tena wadhifa wa urais.
       Kiongozi huyu hayupo mbali na mswala ya soka kwani ni kocha mwenye daraja linalo tambulika na chama cha soka Afrika (CUF) na kufundisha timu Union Sporting ya kule Bujumbura.
  
      Pia ni mchezaji wa timu ya vetarani inayo julikana kama Helleluia FC.Mwaka 2004 alifanikiwa kuanzisha shule ya soka huyo ndo NKURUZINZA.

Endelea kutembelea www.bantutz.com uweze kujua mengi zaidi.

0 comments:

Post a Comment