Facebook

Sunday, 31 May 2015

Falcao kujiunga Mabingwa Chelsea.

Radamel Falcao anataraji kujiunga na Chelsea baada ya ndoto zake kwenda vibaya Manchester United.
Timu ya Chelsea imeonyesha nia ya kumsaini Radamel Falcao kuwa msaidizi wa Diego Costa.
Mcheza huyo miaka 29 anaamini atarudi katika kiwango chake baada ya majeruhi ya mda mrefu.
Chelsea imefungua mazungumzo na Radamel Falcao jana Ijumaa kama anaweza kujiunga Stamford Bridge.
Kocha Louis van Gaal amethibitisha wiki iliyopita hawawezi kumnunua mchezaji huyo kwa mkataba wa Euro milioni 44.

Related Posts:

  • ARSENAL YAJITOA KUMUWANIA REMYKlabu ya Arsenal imejitoa ghafla katika mbio za kuifukuzia saini ya mshambuliaji wa QPR Mfaransa Loic Remy masaa machache baada ya kudaiwa kuwa imerudi kumuwania tena siku ya jana. Sasa milango iko wazi kwa nyota huyo kutua C… Read More
  • Falcao akubali kutua Manchester United kwa mkopo wa Muda mrefu.Taarifa tulioipata BantuTz SPORTS hivi punde ni kwamba mshambuliaji hatari kutoka Klabu ya AS Monaco ya Ufaransa amekubali kujiunga na Manchester United kwa mkopo wa Muda mrefu huku akiwa anapokea mshahara unaokadiriwa kuwa P… Read More
  • MANCHESTER UNITED YARUDI TENA KWA JORGE MENDES Hali inazidi kuchafuka barani ulaya,ndege zinazidi kupishana hii inatoka huku nyingine inatoka kule kwaajili ya kukamilisha jambo. Sasa kuna habari imetoka kwamba uongozi wa United wameamua kumwendea JORGE MENDES wakala wa R… Read More
  • Chicharito ajiunga Real MadridChicharito amejiunga rasmi na klabu ya nchini spain Real Madrid kwa mkopo wa mwaka mmoja na chaguo la kuuzwa moja kwa moja mwisho wa msimu kwa dau la paundi milion 22 … Read More
  • WENGER "YUKO MACHO" KUTAFUTA MSHAMBULIAJI Meneja wa Arsenal Arsene Wenger anataka kununua mshambuliaji mpya kabla ya dirisha la usajili kufungwa Jumatatu. Huku mshambuliaji wao Olivier Giroud akiwa majeruhi, Arsenal walilazimishwa sare ya 1-1 na Leicester iliyopanda… Read More

0 comments:

Post a Comment