Xavi Hernandez ametangaza rasmi kuondoka FC Barcelona mwishoni
mwa msimu huu huku akiwa ndio mchezaji aliyebeba makombe mengi
na klabu hiyo. Xavi anaelekea Qatar kujiunga na timu ya Al-Sadd
Thursday, 21 May 2015
Xavi atangaza rasmi kuondoka FC Barcelona.
Related Posts:
Manchester United yampandia dau kiungo tegemezi wa Colombia. Manchester United wameweka dau la kumsajili kiungo bora aliyeng"ara katika fainali zinazoendelea za kombe la dunia Juan Cuadrado. Star uyo wa Colombia anatajwa kuwa ndie chachu ya ushindi wa timu yake mpaka kuf… Read More
Tetesi za soka katika magazeti mbalimbali barani Ulaya. Liverpool imesema haikuhusika na chochote kuhusiana na hatua ya kuomba radhi ya Luis Suarez baada ya kumng'ata Giorgio Chiellini, ili kusaidia uhamisho wake kwenda Barcelona (Independent), &nb… Read More
Emirates Cup 2014 kuanza hivi karibuni. Kwa kila matayarisho ya msimu mpya, Arsenal huandaa mashindano yanayojulikana kwa jina la Emirates Cup ambalo hujumuisha klabu kubwa Ulaya. Mwaka huu kutakua na Bingwa wa ligi ya Portugal Benfica, Klabu ku… Read More
DIEGO COSTA ATUA RASMI DARAJANI Chelsea wamethibitisha kumsajili rasmi Diego Costa baada ya kufikia makubaliano na Atletico Madrid. Chelsea ilitaka kukamilisha usajili huo kabla ya Kombe la Dunia kwa pauni milioni 32. Jambo hilo halikufa… Read More
Liverpool yakamilisha usajili wa Adam Lallana. Adam Lallana amekamilisha usajili wake kutoka Southampton kwenda Liverpool kwa kitita cha pauni milioni 25. Lallana amekamilisha vipimo vya afya na ataungana na Rickie Lambart aliyetokea Southampton. … Read More
0 comments:
Post a Comment