Facebook

Thursday 21 May 2015

Wakala wa Raheem Sterling amesema mchezaji huyo hatosaini mkataba hata akipewa mkataba wa Paundi laki 9 kwa wiki

Wakala wa mchezaji Raheem Sterling amesema hata Liverpool wampe
mkataba wa kulipwa paundi laki tisa kwa wiki haitobadilisha uamuzi
wa kutosaini mkataba mpya na timu hiyo.

0 comments:

Post a Comment