RASMI: Real Madrid imevunja mkataba na kochawake Carlo Ancelotti baada ya kuinoa kwa miaka miwili.Katika msimu wake wa kwanza Bernabeu, Ancelotti alishinda ligi ya mabingwa, Copa del Rey, Uefa Super Cup na kombe la klabu bingwa ya FIFA duniani.Ancelotti ameshindwa kushinda medali msimu huuna kumaliza pointi mbili nyuma ya mabingwa FC Barcelona.Kocha wa Napoli, Rafael Benitez anapewa nafasi kubwa ya kuchukua mikoba ya Ancelotti.Rais wa Real Madrid, Florentino Perez amethibitisha kufukuzwa kwa Carlo na anatarajia kutangaza mrithi wake jumalijalo.
Monday, 25 May 2015
Real Madrid yamtimua Carlo Ancelloti.
Related Posts:
Real Madrid yakamilisha usajili wa James Rodriguez. Real Madrid wamemsajili mshindi wa kiatu cha Dhahabu katika michuano ya Kombe la Dunia Brazil 2014, James Rodriguez. Mshambuliaji huyo kutoka Colombia mwenye umri wa miaka 23 amesaini mkataba wa miaka sita na Rea… Read More
Tetesi za usajili msimu barani Ulaya. Baadhi ya tetesi za usajili katika ligi mbali mbali barani ulaya msimu wa 2014/2015 Straiker wa klabu ya Galatasaray ya Uturuki Didier Drogba 36, yupo katika mazungumzo na klabu yake ya … Read More
DUNGA KOCHA MPYA BRAZIL Brazil imemtangaza mchezaji wa zamani Dunga kuwa kocha wa timu ya taifa, kwa mara ya pili. Dunga alikuwa nahodha wa Brazil mwaka 1994 waliposhinda Kombe la Dunia, na alikuwa kocha kuanzia mwaka 2006 h… Read More
TRANSFER RUMOURS ON EUROPEAN MAGAZINES. … Read More
AC Milan "Hatujapokea ofa ya Arsenal kumnunua Balotelli" Bosi wa AC Milan Adriano Galliani amekanusha habari kua wamepokea ofa kutoka Arsenal kwa ajili ya kumnunua mchezaji, Mario Balotelli mwenye umri wa miaka 23. Jana kulizuka ripoti kuwa Arsenal imefikia makubali… Read More
0 comments:
Post a Comment