MENEJA wa Arsenal, Arsene Wenger amesema nahodha wake, Mikel
Arteta ambaye hajacheza toka Novemba mwaka jana kwasababu ya
majeruhi anaweza kuwa fiti kwa ajili ya mchezo wa fainali ya Kombe
la FA dhidi ya Aston Villa utakaofanyika Jumamosi hii.
Akihojiwa Wenger amesema uwezekano wa kumtumia Arteta katika
mchezo huo ni mkubwa kwasababu yuko fiti na amekuwa akifanya
mazoezi na wenzake.
Kocha huyo aliongeza kuwa beki wa kimataifa wa Ufaransa Mathieu
Debuchy pia ana nafasi ya kuwepo katika kikosi chake lakini
mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza Danny Welbeck hatakuwa
fiti kwa ajili ya mchezo huo.
Wenger pia amepata ahueni baada ya nyota wake Jack Wilshere na
Theo Walcott kuonyesha kurejesha makali yao kwa kucheza kwa
kiwango cha juu katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu dhidi ya West
Bromwich Albion ambao walishinda mabao 4-1.
Monday, 25 May 2015
ARTETA FITI KUIKABILA ASTON VILLA
Related Posts:
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika kurasa zote za magazeti yote ya leo. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata habari nuhimu… Read More
Xavi ashindwa kuzuia machozi kwenye "Party" ya kumuaga Camp Nou. MKONGWE, Xavi ameshindwa kuzuia hisia zake na kumwaga machozi wakati shamrashamra za kumuaga Barcelona kuelekea fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Juventus. Xavi amemshukuru kocha Luis Enrique kwa kumuwezesha kubak… Read More
Hizi ndizo timu zilizoingiza pesa nyingi Ligi Kuu Uingereza msimu uliopita. Takwimu mpya zimetoka zikionyesha club gani imeingiza kiasi gani kwa msimu uliopita wa 2014/2015.Mpangilio wa table ya ligi haujalishi kwenye swala la kuingiza pesa nyingi. Mfano Manchester united kwenye ligi imeku… Read More
Afisa wa FIFA akiri alipokea rushwa. Wizara ya Sheria ya Marekani imechapisha taarifa inayoelezea jinsi Afisa wa zamani wa FIFA Chuck Blazer alivyokiri kuwa yeye pamoja na wenzake walipokea rushwa ikiwa ni pamoja kuichagua Afrika Kusini kuwa mwenyeji wa fain… Read More
Huu ndio 'uzi' mpya wa Real Madrid msimu ujao. … Read More
0 comments:
Post a Comment