Facebook

Sunday, 24 May 2015

MOURINHO SITO RUSHA MEDALI YANGU LEO



The special one kila asemacho huwa ni habari kubwa, baada ya kuzungumza kuhusu ishu ya Barcelona na Real Madrid wangekua kwenye ligi ya uingereza maishayao yangekua magunu.
Hivi sasa amekuja na jipya, kama unakumbuka mwaka mwaka 2006 baada ya kuchukua taji la EPLalirusha medali yake kwa mashabiki.
Lakini alipoulizwa kwamba atarusha tena medali yake kwa mara nyingine hili ndilo lilikua jibu lake,”Mwanangu wa kiume hivi sasa anakusanya kila kitu changu.
Anachokifanya ni kuhifadhi kila kitu, wakatiule mwaka 2006 alikua mdogo sana lakini hivi sasa anakusanya kila kitu kuanzia jezi, medali na kila kitu.
Kuna wakati anaiba vitu vyangu na kuviweka kwenye collectionyake”.

Related Posts:

  • KIKOSI CHA AZAM FC DHIDI YANGA1. MWADINI ALI 2. SHOMARI KAPOMBE 3. ERASTO NYONI 4. DAVID MWANTIKA 5. AGGREY MORIS 6. BOLOU MICHAEL 7. HIMIDI MAO 8. SALUM ABUBAKAR 9. DIDIER KAVUMBAGU 10. KIPRE TCHETCHE 11. LEONEL SAINT PREUX AKIBA AISHI MANULA MUDATHIR YA… Read More
  • Ligi Kuu Uingereza:Arsenal kukumbana na Manchester City hapo kesho.Uwanja-Emiraters Mashabiki-60,300 Timu-Arsenal vs man city Arsenal ni timu iliyoanzishwa mwaka 1889 kaskazini mwa jiji LA London Mpaka sasa Arsenal wamekutana Na man city mara184 ~Arsenal wameshinda Mara 93 ~Manchester city a… Read More
  • Yanga vs Azam Pazia la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara linafunguliwa leo kwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa wakali wa Jangwani Yanga SC kucheza na timu ya Azam FC, Uwanja wa Taifa kuanzia majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Masharik… Read More
  • RATIBA ULAYA | UEFA Champions LeagueLeo Jumanne 21:45 Olympiakos Piraeus vs Atlético Madrid 21:45 Juventus vs Malmö FF 21:45 Liverpool vs Ludogorets 21:45 Real Madrid vs Basel 21:45 Monaco vs Bayer Leverkusen 21:45 Benfica vs Zenit 21:45 Galatasaray v… Read More
  • Orodha ya vilabu 10 ulaya vilivyotengeneza fedha nyingi kwenye usajili.1. Southampton FC 97 2. Real Madrid CF 89.4 3. Chelsea FC 81 4. Liverpool FC 80 5. AS Monaco 76 6. FC Barcelona 68.7 7. FC Porto 67 8. Club Atlético de Madrid 58.2 9. Sevilla FC 43 10. FC Bayern München 39 … Read More

0 comments:

Post a Comment