Facebook

Friday 28 November 2014

ASKOFU KILAINI AKIRI KUPOKEA MILIONI 80.5.



 

Askofu msaidizi wa jimbo la Bukoba Methodius Kilaini amekiri kupokea milioni 80.5 kutoka kwa James Rugemalira na akisema hii si mara yake ya kwanza kupokea fedha toka kwa mfanyabiashara huyo kwakuwa mara nyingi huwa anachangia kwa uwazi miradi ya jamiii. Na michango amesema michango inayopelekwa kwake haina siri hivyo washikwe wezi halisi sio yeye

0 comments:

Post a Comment