Facebook

Saturday 29 November 2014

WIZ KHALIFA NAYE AJARIBU KUBREAK INTERNET,,LOL!!

Rapper Wiz Khalifa aliwashangaza mashabiki wake pale alipopost picha akaijaribu naye eti kubreak internet kama Kim Kardashian alivyofanya wiki kadhaa zilizopita.Picha hiyo iliyomwonesha akiwa uchi bafuni na kuiweka kwenye Instagram.Alionekana akiwa anajimwagia maji kutoka kwenye chupa kutumia mkono mmoja huku mwingine ukiwa umeshikilia sehemu zake za siri.Aliweka caption " No shower til 4pm."
Story by Samchris Swai

0 comments:

Post a Comment