Rapper Wiz Khalifa aliwashangaza mashabiki wake pale alipopost picha akaijaribu naye eti kubreak internet kama Kim Kardashian alivyofanya wiki kadhaa zilizopita.Picha hiyo iliyomwonesha akiwa uchi bafuni na kuiweka kwenye Instagram.Alionekana akiwa anajimwagia maji kutoka kwenye chupa kutumia mkono mmoja huku mwingine ukiwa umeshikilia sehemu zake za siri.Aliweka caption " No shower til 4pm."
Story by Samchris Swai
Saturday, 29 November 2014
WIZ KHALIFA NAYE AJARIBU KUBREAK INTERNET,,LOL!!
Related Posts:
Idris Sultan aingia kwenye ugomvi mzito na Wema Sepetu. MSHIRIKI wa Big Brother Afrika ‘BBA’ Hot Shot 2014 kutoka nchini Namibia, Luis Munana, amemwagia sifa aliyekuwa Miss Tanzania 2016, Wema Sepetu kuwa ni mwenye mvuto wa kipekee Lakini licha ya kutoa sifa hizo, mshiriki mwen… Read More
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika kurasa za magazeti yote ya leo Jumatatu,Juni 1. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata habari nuh… Read More
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika kurasa za magazeti yote ya leo Alhamis Mei 28. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata habari nuhim… Read More
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika kuarasa za magazeti yote ya leo Jumatano,Mei 27. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata habari… Read More
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika magazeti yote ya leo Jumanne,Juni 2. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata habari nuhimu… Read More
0 comments:
Post a Comment