Mwanaume mmoja Saudi Arabia ametoa 
talaka kwa mkewe kutokana na kitendo cha mwanamke huyo kutokujibu 
message aliyomtumia WhatsApp.
Mwanaume huyo amesema kitendo 
kilichomkasirisha zaidi ni pale aliporudi nyumbani na kumkuta mke wake 
akiwa busy anachat na marafiki zake kupitia mtandao huo wakati message 
aliyomtumia yeye hakuijibu.
0 comments:
Post a Comment