Prof Muhongo akiombewa leo asubuhi na wachungaji pamoja na mashekhe!! Kabla ya kwenda kuwasilisha ripoti ya Wizara ya Nishati na madini inayosadikika kukumbwa na wimbi la ufisadi.
Thursday, 27 November 2014
Muangalie hapa Waziri wa Nishati na Madini,Prof.Muhongo akiombewa kabla ya kwenda kuwasilisha ripoti.
Related Posts:
MGOMO WA MADEREVA WAMALIZWA SALAMA DSMWaziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudencia Kabaka amefanikiwa kumaliza mgomo wa madereva baada ya kutangaza kufuta agizo lililokuwa likiwataka madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma tena katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji… Read More
Huyu ndiye Mwizi aliyekamatwa na kulazimishwa kula mahindi mabichi.Mwizi (pichani) alazimishwa kula mahindi mabichi baada ya kukutwa akiiba mahindi hayo shambani huko Bukoba mkoani Kagera. Wamiliki wa shamba hilo baada ya kumkuta akiiba mahindi aliyojaza kwenye gunia, walimuamuru kukaa chini… Read More
Haya ni Matukio 10 makuu baada ya mauaji GarissaFamilia za wanafunzi 142 kati ya watu 148 waliouawa katika shambulizi la kundi la wapiganaji wa Kiislamu Al Shabaab katika chuo kikuu cha Garissa wameruhusiwa kuchukua miili ya wapendwa wao. Familia zimeanza harakati za safar… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA KURASA ZA MAGAZETI YOTE YA LEO JUMAMOSI APRIL 11 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa k… Read More
BantuTz MAGAZETINI:SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA KURASA ZA MAGAZETI YOTE YA LEO APRIL 1,2014. BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa k… Read More
0 comments:
Post a Comment