Facebook

Friday 21 November 2014

Mh.Kagasheki amlipua Wazir Mkuu,Mizengo Pinda.

Mbunge Bukoba Mjini,Khamis Kagasheki baada ya kutoa maoni yake mbalimbali kuhusiana na sakata la Ufisadi lililoikumba serikali,Huku Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Pinda akinyooshewa kidole.
Hivi punde katika ukurasa wake wa Twitter ame-tweet hiki hapa chini.
Dhahiri akimnyooashea kidole Mtendaji mkuu wa Serikali.

0 comments:

Post a Comment