Taarifa rasmi zinasema kuwa vyombo vya
usalama na hasa jeshi la polisi wameuzuia
mdahalo huo kwa sasa kutokana na ile
kinachodaiwa kuwapo taarifa za vijana
waliopanga kuandamana kuvuruga na kuzuia
mdahalo huo wakidai kuwa wajumbe hao
wabunge la katiba wanatumika kufunika mjadala
wa pesa za escrow na kuwapo madai kuwa
Lugemalila aliichangia taasisi ya Mwalimu
Nyerere shilingi milioni mia tano,vijana hao
ambao waliandika barua na kuitupa makao
makuu ya polisi DSM, wamelitaka jeshi la polisi
kuzuia mdahalo huo kwa sasa hadi sakata la
escrow akaunti litakapo jadiliwa vinginevyo
watafanya kila wawezalo kuvuruga amani
mlimani city
taarifa zinasema pia kuwa viongozi wa taasisi
ya mwalimu nyerere bado wanafanya juhudi
mbalimbali kuhakikisha kila kijana atakaeshiriki
mdahalo huo anapekuliwa na kujulikana na
camera zilizopo maeneo hayo ya mlimani city
pamoja na kuongeza ulinzi wa kampuni
binafsi ,maombi hayo yanasubiria kikao cha
kesho cha jeshi la polisi na uongozi wa taasisi
ya mwalimu nyerere na washiriki wengine wa
mdahalo ili maafikiano yao yatolewe rasmi ni lini
mdahalo huo umepangwa baada ya kusogezwa
mbele toka NOV 25 siku ya jumanne
Monday, 24 November 2014
MDAHALO WA KATIBA ULIOKUWA UFANYIKE NOV 25 MLIMANI CITY UMEHAIRISHWA TENA
Related Posts:
BantuTz MAGAZINE-Soma kilichoandikwa katika Magazeti ya leo Novemba 28. BantuTz MAGAZETI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa kati… Read More
Zitto kufanya majumuisho ya kamati ya PAC leo hii jioni na kujibu hoja inayomkabili. Hiki ndicho alichoandika kupitia ukurasa wake wa facebook Leo jioni kuanzia saa Kumi na Moja nitafanya majumuisho ya hoja ya Kamati ya PAC kuhusu akaunti ya Escrow na uhalali wa Kampuni ya PAP kumiliki IPTL. … Read More
Muangalie hapa Waziri wa Nishati na Madini,Prof.Muhongo akiombewa kabla ya kwenda kuwasilisha ripoti.Prof Muhongo akiombewa leo asubuhi na wachungaji pamoja na mashekhe!! Kabla ya kwenda kuwasilisha ripoti ya Wizara ya Nishati na madini inayosadikika kukumbwa na wimbi la ufisadi. … Read More
ASKOFU KILAINI AKIRI KUPOKEA MILIONI 80.5. Askofu msaidizi wa jimbo la Bukoba Methodius Kilaini amekiri kupokea milioni 80.5 kutoka kwa James Rugemalira na akisema hii si mara yake ya kwanza kupokea fedha toka kwa mfanyabiashara huyo kwakuwa mara nyingi hu… Read More
LIVE !! BUNGENI DODOMA-SAKATA LA AKAUNTI YA ESCROW. Habari wakuu, Baada ya jana ripoti kusomwa, Kama kawaida moja kwa moja kutoka bungeni Dodoma tutajuzana hapa kupitia BantuTz.com. Kwa wale wasio na uwezo kufatilia moja kwa moja pia kwa wale wenye nafasi ya kufatili… Read More
0 comments:
Post a Comment