Facebook

Friday 21 November 2014

Hawa ndio wanawake walio kwenye orodha ya watu matajiri duniani.


Isabela dos Santos
Isabela dos Santos
Unafahamu ya kuwa kwenye orodha ya watu matajiri 50 Afrika kuna wanawake wawili wanaoingia kwenye orodha ya matajiri hao?
Jarida la Forbes lilitoa orodha ya matajiri hao ambapo Aliko Dangote mfanyabiashara kutoka Nigeria anaongoza kwenye listi hiyo.
Wanawake hao wawili ni Isabel dos Santos ambaye ni mtoto wa aliyekuwa Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos amewekeza kwenye miradi mbalimbali ikiwemo kampuni za mitandao ya simu za mkononi ni mwanamke tajiri zaidi ambaye ameingia kwenye listi hiyo, pamoja na Folorunsho Alakija ambaye ni mfanyabiashara na mwanamitindo wa Nigeria.
Folorunsho Alakija
Folorunsho Alakija

0 comments:

Post a Comment