Facebook

Friday, 21 November 2014

Hawa ndio wanawake walio kwenye orodha ya watu matajiri duniani.


Isabela dos Santos
Isabela dos Santos
Unafahamu ya kuwa kwenye orodha ya watu matajiri 50 Afrika kuna wanawake wawili wanaoingia kwenye orodha ya matajiri hao?
Jarida la Forbes lilitoa orodha ya matajiri hao ambapo Aliko Dangote mfanyabiashara kutoka Nigeria anaongoza kwenye listi hiyo.
Wanawake hao wawili ni Isabel dos Santos ambaye ni mtoto wa aliyekuwa Rais wa Angola, Jose Eduardo dos Santos amewekeza kwenye miradi mbalimbali ikiwemo kampuni za mitandao ya simu za mkononi ni mwanamke tajiri zaidi ambaye ameingia kwenye listi hiyo, pamoja na Folorunsho Alakija ambaye ni mfanyabiashara na mwanamitindo wa Nigeria.
Folorunsho Alakija
Folorunsho Alakija

Related Posts:

  • Atafuna Moyo wa binadamu Afrika Kusini..   Mtuhumiwa alipatikana akila moyo wa binadamu kwa kisu na uma Polisi nchini Afrika Kusini wanachunguza t… Read More
  • Kiongozi ataka vijana wajihami Nigeria Wapiganaji wa Boko Haram wamekuwa wakiwahangaisha wananchi kwa miaka mingi Kiongozi mmoja wa kijamii katika mji wa Chibok Nchini Nigeria ameiomba serikali ya taifa hilo kuwaruhusu kubuni makundi ya vijana waliojiham… Read More
  • Mhubiri mwingine auawa nchini Kenya Marehemu Sheikh Mohammed Idris ameuawa na watu wasiojulikana Hali ya ulinzi imeimarishwa mjini mombasa kufuatia kuuwawa kwa Muhubiri mmoja wa kiisilamu m… Read More
  • Mashoga wapinga Urais wa Kutesa UN Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Uganda, Sam Kutesa. Uwezekano wa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Uganda, Sam Kutesa, kushinda cheo cha Urais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kumeanzisha mjadala mkali nchini Uganda,… Read More
  • Obama:Iraq inahitaji msaada. Rais wa Marekani Barack Obama amesema serikali yake inatazama "njia mbalimbali" ikiwemo nguvu za kijeshi kuisaidia Iraq kupambana na wanamgambo. Obama amesema Marekani ina nia ya kuhakikisha wapiganaji hawachukui tena… Read More

0 comments:

Post a Comment