Facebook

Friday 28 November 2014

Tibaijuka "Nilipokea pesa za ESCROW"

Mjadala kuhusu kashfa ya uchotaji wa
mamilioni ya fedha katika akaunti ya ESCROW
ya Benki Kuu ya Tanzania umezidi kuunguruma
nchini Tanzania kufuatia taarifa ya Kamati ya
Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali, PAC,
na ripoti ya serikali kuhusu kashafa hiyo.
Mambo yaliyojitokeza katika ripoti ya PAC ni
kutaja majina ya viongozi na maafisa
wandamizi wa serikali walionufaika na magao
huo.

Miongoni mwao ni waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka
ambaye alizungumza na mwandishi wetu mjini
Dodoma, Ben Mwang'onda ambaye alianza kwa
kumuuliza kama kutajwa kwa jina lake
alitendewa haki

0 comments:

Post a Comment