Facebook

Tuesday 18 November 2014

Messi afunguka kuhusu kuihama Barcelona.

Kuelekea mchezo wa usiku huu kati ya Argentine
vs Portugal Messi amezungumzia suala la
kuhama Barca na kusema:

'Ninafikiria kuwa na
mwaka mzuri na Barcelona na kushinda mataji.
Baada ya hapo tutaona kitakachojiri. Siku zote
nimekuwa nikisema ningependa kubaki hapa
lakini sio mara zote mambo huenda kama
unavyopanga."

0 comments:

Post a Comment