Facebook

Friday 28 November 2014

Zitto kufanya majumuisho ya kamati ya PAC leo hii jioni na kujibu hoja inayomkabili.

 Zitto Kabwe

Hiki ndicho alichoandika kupitia ukurasa wake wa facebook
 
Leo jioni kuanzia saa Kumi na Moja nitafanya majumuisho ya hoja ya Kamati ya PAC kuhusu akaunti ya Escrow na uhalali wa Kampuni ya PAP kumiliki IPTL. PAC itajibu hoja za Serikali na Mimi kama Mbunge Binafsi nitajibu hoja dhidi yangu.

0 comments:

Post a Comment