Facebook

Sunday, 16 November 2014

Roboti kuchukua ajira za raia wa Uingeteza

Sio raia wa Australia pekee walio na wasiwasi
kuhusu kupotezi kazi zao kwa mitambo
inayojiendesha.

Zaidi ya thuluthi moja ya ajira
nchini Uingereza ziko katika hatari ya
kuchukuliwa na mitambo ya kujiendesha katika
kipindi cha miaka 20 ijayo kulingana na ripoti
ya Deloitte.

Utafiti huo umebaini kwamba ajira
ambazo watu hupata kipato cha chini kuna
uwezekano mkubwa zikachukuliwa na mitambo
hiyo ya Roboti ikilinganishwa na kazi zinazolipa
vizuri.

Baadhi ya ajira ambazo ziko katika tishio
la kuangamia ni kama vile za usaidizi wa afisi,
mauzo na huduma, usafiri, ujenzi, uchimbaji
na uzalishaji.

Related Posts:

  • Gari linalojiendesha lenyewe lafanyiwa majaribio huko Japan, Taarifa ikufikie kutoka Samukawa, Kanagawa Japan ambako stori kubwa leo ni kampuni ya Nissan kupata furaha kubwa baada ya kufanikiwa kwa jaribio la gari walilolitengeneza ambalo linajiendesha lenyewe. Unaambiwa limetemb… Read More
  • Mtanzania anayekuja kuiokoa Dunia.Huyu ni kijana mwenye uwezo mkubwa,BantuTz imeona sio mbaya kukuletea makala kuhusu kijana huyu ambaye kwa namna moja au nyingine anaweza akawa mfano wa kuigwa na vijana wengine. Jambo moja ambalo wanafunzi waliosoma naye nch… Read More
  • Unakijua Chumba cha maajabu kilichopo juu ya dunia ?. Pichani ni mafundi wakiendelea kumalizia ujenzi wa chumba hicho. Sayansi ya Teknolojia ikiwa inaendelea kushika kasi siku hadi siku, chumba hiki maalum kilichojengwa juu ya safu za milima ya Alpine iliyopo Ufaransa … Read More
  • Ajali mbaya ya ndege na Parachuti NI AJALI MBAYA YA HUYU JAMAA NA NDEGE ANGANI Hili imetokea Florida Marekani ambapo mtu mmoja alikua anaruka akiwa na Parachuti lakini akakutana na ndege hii ndogo ambayo baada ya kumgonga walianguka chini… Read More
  • Angalia vituo vya mabasi Dubai vyenye AC Dubai ni sehemu ambayo hata nchi nyingi kubwa duniani zinaipa salute… ni sehemu ambayo imejengwa kwenye miaka ya karibuni hivyo kufanya vitu vyake vingi kuwa vya kisasa na vyenye ubunifu mkubwa.   Ni sehemu … Read More

0 comments:

Post a Comment