Kwanza tuhuma alizozitoa J.J.Mnyika zilikuwa na mashiko sana,
kwamba kifo cha Mgimwa kina utata na kinatakiwa kichunguzwe na serikali.
Kwanza ilianzia kwa Zitto Kabwe kusema wazi kuwa mama yake aachwe
apumzike, Zito nilimwelewa, baada ya hapo mtoto wa Mgimwa naye ataomba
Baba yake aachwe apumzike na asihusishwe na sakata la Tegeta Escrow
Account kwa namna yoyote ile.
David Kafulila kwa nini nasema nilimwelewa vizuri: Alileta hoja kuwa
Mgimwa alikuwa kiongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tena katika
ngazi ya juu kabisa. Kwa hiyo hoja ya Uchunguzi wa kifo chake ni wazi
kabisa kama alivyonena Kafulila.
Mtoto wa Mgimwa yeye anamtetea Baba yake, lakini Taifa linataka
kuchunguza kifo cha Kiongozi na si Baba wa Mtu fulani. Ni kama Rais wa
nchi auwawe afu mtoto wake aseme sitaki Uchunguzi wa Baba yangu kwani
hata mkifanya hawezi kurudi!!!!. Kiongozi mkubwa wa nchi si Mali ya
familia jamani, akiwa nyumbani kwake ndiyo Baba yenu na akiwa nje
atabaki kuwa kiongozi wa Taifa, na hata akifia nyumbani kama kifo ni cha
utata lazima serikali ifanye Uchunguzi tu.
Related Posts:
Soma hapa barua ya Jeshi la Polisi inayowazuia Upinzani (Ukawa) kutokufanya maandamano.........fuatilia hapa............
Baada ya kugoma kuendelea kuhudhuria vikao vya bunge la katiba
Dodoma, Umoja wa katiba ya Wananchi (UKAWA) unaoongozwa na Profesa
Ibrahim Lipumba na Freeman Mbowe ulitangaza kufanya mkutano Zanzibar
Jumamosi ya … Read More
"Hatujampigia magoti Zitto Kbwe"-Ukawa
"Habari inayoenezwa kuwa viongozi wakuu
wa UKAWA na hata waandamizi nikiwemo mimi, eti tumembembeleza mhe. Zitto
Kabwe ili aunge mkono mikutano ya UKAWA kuzunguka nchi siyo taarifa
zenye ukweli wowote.Mhe Zitto ha… Read More
Kumbe ile meli iliyosadikika kuzama Ziwa Zictoria haikuzama,bali shehena ilipakuliwa na kuuzwa kenya kisha kuzamishwa................soma hapa...................
Ile meli iliyotangazwa imezama katika
ziwa Victoria na tani 280 ya sukari siyo kweli. haikuzama ila umefanyika
wizi na mmiliki wa meli hiyo Kitana Chacha wa Mwanza ambaye ikiwa
njiani zilikuja boti kadha kuto… Read More
Hii ndio Orodha ya matajiri waliofanikiwa kutokana na Biashara ya mtandao {Network marketing}........fuatilia hapa..........
Rank ya Dunia
Jina
Kampuni
Kipato/mwezi
kipato/mwaka
1
Holton Buggs
OrganoGold
$1,200,000
$14,400,000
2
Angela Liew and Ryan Ho
NuSkin
$1,100,000
$13,200,000
3
Dexter & Birdie Yager
Amway
$1,000,000
$12,000,000
… Read More
Busara za Nyerere na Karume hakuna wa kuziendeleza...................??????
Mwl Nyerere na Sheikh Karume wakinywa Fanta bariiidi tena kwa mrija.....Hii ni kutokana na uzalendo waliokuwa nao waasisi hawa wa muunagano bila kujikweza wala kujilimbikizia mali tabia inayofanywa na viongozi wa sasa we… Read More
0 comments:
Post a Comment