Ilishtua wengi na kuzua mjadala mkubwa katika mitandao ya kijamii
baada ya shirika la utangazaji Marekani CNN kuripoti kuuawa kwa Rais
Obama.
Makosa ya kiuandishi yalifanyika ambapo mtayarishaji wa video aliandika neno Obama badala ya Osama.
Stori ilikuwa inahusu mwanajeshi aliyedai kutekeleza shambulio na
kumuua Osama bin Laden,
“.. Seal who Claims he Killed Obama Under
Attack…”
Kosa hilo lilikaa hewani kwa sekunde kumi na tano na kabla ya kufanyiwa marekebisho.
Tuesday, 11 November 2014
Unafahamu kwamba CNN walilipoti Obama kauwawa ?
Related Posts:
wanafunzi 23 wauawa shuleni Nigeria. Kumetokea shambulizi katika shule moja ya upili wakati wanafunzi wakiwa wamekusanyika shuleni humo mjini Potiskum Kaskazini Mashariki mwa Nigeria. Hata hivyo hakuna taarifa kamili kuhusu idadi ya majeruhi kufikia sa… Read More
Watu 10 wauawa katika mlipuko Nigeria Ripoti kutoka kaskazini mwa Nigeria zinasema kuwa watu kadhaa wameuawa na mlipuko wa bomu karibu na mashine ya kutoa pesa ya ATM. Walioshuhdia walisema kuwa ,mwanamume mmoja alikaribia watu waliokuwa wamepanga fol… Read More
Je,wajua kuna waombolezaji wa kulipwa ? Kila Alhamisi na Ijumaa, shughuli katika mji wa Kisumu, magharibi mwa Kenya, huvurugika kwa sababu mamia ya waendesha pikipiki huzuia barabara kutokana na kukodiwa kuomboleza msiba kwa malipo. Kelele za saut… Read More
Rais masikini zaidi duniani apewa dola milioni 1Rais wa Uruguay Jose Mujika anasema kuwa amepewa dola millioni 1 ili kuuza gari lake aina ya Volkswagen. Bwana Mujica ,aliyejulikana kama rais masikini duniani kutokana na maisha yake ,alisema kuwa ombi hilo lilitoka kwa kion… Read More
Raisi Uhuru Kenyata apanda daladala kutoka Ikulu mpaka KICC Raisi wa nne wa Kenya Uhuru Kenyata amewaacha watu na surprise nyingine siku ya jana (jumatano) asubuhi baada ya kuamua kupanda matatu kuelekea KICC kwenye uzinduzi rasmi wa My 1964. CEO wa… Read More
0 comments:
Post a Comment