Mwanamuziki nyota Taylor Swift ameshinda tuzo nyingi katika sherehe za tuzo za muziki za BillBoard baada ya kushinda nane kati
ya 14 alizoteuliwa kugombea.
Miongoni mwa tuzo alizoshinda ni msanii bora wa kike,kanda bora ya video ya muziki wa ''Shake it off ''pamoja na msanii bora mwaka
huu.
Nyota wa Uingereza Sam Smith alishinda tuzo la msanii mpya bora na kukubali tuzo lake akiwa nyumbani baada ya kufanyiwa upasuaji.
Lakini Kanye West alizomwa alipokuwa akifunga sherehe hiyo kwa kuimba mchanganyiko wa nyimbo zake.
Mashabiki wa muziki walimzoma huku mashemeji zake Kendall na Kylier Jenner wakizitaja nyimbo atakazoimba,huku mashabiki wakiendelea kumzoma.
Monday, 18 May 2015
Taylor Swift ang'ara tuzo za Billboards.
Related Posts:
Unawajua wanawake ambao wamewahi kutoka kimapenzi na Lil Wayne.Hivi sasa Lil Wayne ana skendo zinazosema kwamba yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na msanii Christina Millian. Sasa watu wengi wamependa kujua historia ya kimapenzi ya hawa wawili. Kwa upande wa historia ya mahusiano ya… Read More
Watanzania wazidi kupiga hatua,Page ya Hasheem Thabeet ya Facebook yawa Verifeid Alama ya verified ndio inatambulisha ukurasa halali wa mtumiaji kwenye mitandao mingi sana. Alama hii ni muhimu sana hasa kwa watu maarufu wanaotumia mitandao ili kuepuka kuwepo kwa kurasa feki ambazo haziwahu… Read More
Davido awajibu wanaomponda kwenye mitandao ya kijamii. Davido ni mtu ambaye huwa anaonyesha vitu vingi anavyonunua kama baadhi ya mastaa lakini kwa upande wa Davido vinahusika vitu vya gharama sana. Ukicheki utaona post akionyesha saa za Rolex ambazo zina material ya dhahabu… Read More
Shakira aweka rekodi kwa kuwa mtu wa kwanza Duniani kuwa na Likes Milioni 100 Facebook. Msanii Shakira amekuwa mtu wa kwanza duniani kuwa na Likes [Mashabiki] milioni 100 katika ukurasa wake wa Facebook na kuwapiku wasanii wakubwa kama Rihanna na Lady Gaga. Shakira ambaye ni raia wa Columbia amevun… Read More
Wafahamu waigizaji 10 wa kiume waliotajwa na Forbes kwa kulipwa pesa nyingi 2014 Forbes kwa wakati huu wametoa orodha ya mastaa 10 wa kiume ambao wamelipwa pesa nyingi zaidi kwenye kazi zao za filamu. Muigizaji mweusi ni Will Smith peke yake kwenye top 10 wengine wote ni wazungu. 1 Robert Downey Jr … Read More
0 comments:
Post a Comment